Posts

Showing posts from August, 2023

ONDOA KINYAMA ,UVIMBE ENEO LA HAJA KUBWA NA MAUMIVU BILA MADHARA

Image
  TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE BILA UPASUAJII BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE ➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa         *CHANZO CHA BAWASIRI* ➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva ➖ Tatizo sugu la kuharisha ➖ Ujauzito ➖ Uzito wa mwili kupita kiasi ➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa  (kulawitiwa) ➖ Kupata haja kubwa ngumu ➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni ➖ Kunywa pombe ➖ Kula sana nyama nyekundu ➖ Vidonda vya tumbo ➖ Ngiri(Chango/Hernia ➖ Kula sana pilipili ➖ Kunyanyua vitu vizito             *DALILI ZA BAWASIRI * ➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa ➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa ➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa ➖ Kupata kinyesi chenye damu ➖ Kupata maumivu makali wakati wa  kujisaidia haja kubwa ➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja...

FANYA HAYA KUONDOA MIWASHO UKENI BILA DAWA

Image
  Katika hali ya kawaida mwanamke anaweza kuhisi muwasho ukeni mara moja moja . Hali hiyo ikiwa ya muda mrefu au ya kujirudiarudia inaweza kua imesababishwa na fangasi ukeni,allergy ukeni,Maamukizi ya bakiteria nk Kama nilivyoeleza katika post zilizopita kua ukeni kuna bakiteria wazuri na bakiteria wabaya .. wale wazuri hua ni wengi kuliko wabaya .. Inapotokea bakiteria wazuri wakapungua hupelekea bakiteria wabaya kuongezeka pamoja na fangasi. Sababu za muwasho zinaweza kua:- -kuosha uke kwa sabuni kali(medicated soap) -Kuvaa nguo za kubana kama tight,au chupi zinazobana. -Kutobadilisha ped mara kwa mara unapokua period -Unapofika ukomo wa hedhi kiwango cha homoni ya oestrogen hupungua na kusababisha uke kusinyaa na kua na miwasho. -Hali hii pia inaweza kutokea kama una stress mara kwa mara nk Matibabu yake hutegemea na chanzo cha tatizo -Na sio kila muwasho ni fangasi… -Muwasho mwingine unasababishwa na aleji Matibabu kama muwasho ni wa fangasi huwa ni dawa za kupaka za fangasi za...

FAIDA ZA KULA NDIZI KIAFYA

Image
 Matokeo 6 katika mwili wako kama ukila ndizi 2 kila siku.!  - Ndizi zina virutubisho vingi kama vile vitamini, nyuzinyuzi, protini, wanga, madini ya chuma na virutubisho vya sukari kama ‘Sucrose’ na ‘Fructose’.  Wataalam wa lishe wanasema kula ndizi mbili kwa siku kwa muda wa mwezi tu, afya yako itaimalika. - Bila shaka kuna faida nyingi lakini hapa zipo 6 kati ya nyingine nyingi; - 1. Kuondokana na tatizo la Kiungulia. Ndizi kiasili sio tunda lenye asidi kwa wingi, ikumbukwe kuwa kiungulia husababishwa na uwepo wa asidi nyingi mwilini.  Hivyo ndizi ni tiba kwa wote ambao wanasumbuliwa na kiungulia.  Kula japo ndizi moja kwa siku basi itatuliza haraka na kuondoa dalili zote za kiungulia. - 2. Kuondoa Presha. Ndizi pia zina wingi wa madini ya ‘Sodiam’ na ‘Potassium’ ambayo huweka sawa presha ya damu na kuimarisha afya ya moyo.  Madini hayo pia husaidia kutanua misuli ya moyo ili kufanya kazi zake kwa urahisi. - 3. Kuongeza Nguvu. Endapo utakula ndizi mbili ...

JINSI YA KUONDOA MAUMIVU MAKALI YA HEDHI BILA DAWA SOMA HAPA

Image
 JINSI YA KUONDOA MAUMIVU MAKALI YA HEDHI 1. ACHA KULA Soda, Juisi, smooth za matunda, Milkshakes, Nafaka na Ngano,Viazi,Pombe, Mafuta ya mbegu za Mimea, Margarine. . 2. KULA HIVI Mboga za majani, Matunda,Karanga za Omega 3 (Almond,korosho, mbegu za maboga),Samaki,kuku,Matunda na nyama MAUMIVU HUTAYASIKIA KABISA NA MZUNGUKO WAKO UTAKUWA IMARA NA UHAKIKA NDANI YA MWEZI MMOJA UKIWA KWENYE CHALLENGE. . Wangapi wako tayari kuanza  Huduma hii bila dawa za maumivu wala kemikali 0684450076

KINGA NA USHAURI USIJE UGUWA SARATANI YA MAPAFU

Image
  Jinsi Ya Kujikinga Na Kansa Ya Mapafu : Takwimu za epidem iolojia zinaonesha kufanya mambo yafuatayo kunapunguza maradufu hatari ya kupata kansa ya mapafu; 1) Epuka uvutaji wa sigara au kupumua moshi wa watu wengine wanaovuta.     2) Punguza au epuka kabisa kukutana gesi ya radon.     3) Epuka kukutana na kemikali zinazosababisha kansa ya mapafu unapokua mahali pa kazi au mahali pengine.     4) Kula chakula bora, matunda na mboga za majani kwa wingi.     5) Kwa wavutaji wa sigara wa sasa au wa zamani, watumie dozi kubwa ya vitamini au madawa yenye vitamini nyingi. HITIMISHO: Kwa msaada wa tiba na ushauri wa magonjwa ya afya yasiyo ya mlipuko wasiliana nasi kwa simu namba 06 844 500 76

MALALAMIKO YA WANAWAKE KWA WANAUME NGUVU ZA KIUME

Image
 Tunako elekea wanaume tutakosa vyote maana, Ukiona mwanamke anakulalamikia hisia zake huzikati na bado Kiuchumi napo unabweteka kuchakalika” .Ujue kwamba Unako elekea Utakosa Vyote na hautakuwa na matumizi ya binadamu yeyote. . Mwanaume Jitahidi sana: 1. Kutafuta kwa Nguvu na akili zako zote 2. Pesa unayopata Usitumie kubomoa mwili wako maana zitakupokonya uanaume wako. 3. Epuka maisha ya hanasa sio mazuri yanafubaza kiwili wili chako mapema sana. 4. Mwisho wa siku utapata vigezo vyote wanawake wanataka. Uwe na pesa ya kumtunza sio utunzwe. Na Kingine zaidi Usipate malalamiko ya Hisia zake inapokuja kwenye uwanja wa Fundi seremala. . Hali sasa ni mbaya na malalamiko ni Chungu nzima. Hebu turudi kwenye Utaratibu huo hapo Juu. 06 844 500 76

ANATIC SOAP TIBA YA MATATIZO YA NGOZI

Image
 ANATIC SOAP  ZIJUE FAIDA ZA KUTUMIA ANATIC SOAP _ Huondoa chunusi na madoa sugu _ Huondoa harufu mbaya mwilini _ Huondoa weusi makwapani na mapajani _ Hufanya ngozi kuwa nyororo na yakuvutia _Huondoa michirizi kwenye ngozi  NB: HAICHUBUI Kwa wale wenye maduka ya vipodozi na pharmacy hii sio ya kukosa utapata kwa bei jumla nafuu kabisa  ukichkua kuanzia 5 wahi sasa ofa hii CALL:06 844 500 76

FAHAMU UGONJWA WA KISUKARI NA LISHE NZURI KWA MGONJWA

Image
 AFYA: Kisukari ni Ugonjwa unaosababishwa na UKOSEFU au UPUNGUFU wa chembechembe (HORMONE ) kwa jina la insulin. - Ugonjwa huu pia huitwa Diabetes Mellitus, maneno yanayotokana na kigiriki na kilatini.  Je, unajua dalili, madhara na matibabu ya ugonjwa huu? tupigie simu 0684450076

VYAKULA VYA KUONGEZA KINGA YA MWILI KWA HARAKA

Image
KULA VYAKULA HIVI ILI UONGEZE KINGA YA MWILI WAKO - Iliki: Huongeza madini ni kama vile potassium, calcium, chuma na manganese ambayo husaidia kuimarisha mzunguko wa damu kwenye mapafu na kuzibua mirija ya hewa - Matunda jamii ya machungwa na malimao: Matunda haya yana kiwango kikubwa cha vitamin C na virutubisho vya "flavonoids" 06 844 500 76

VYAKULA UNAPASWA KULA UKIWA NA MIAKA ZAIDI YA 40

Image
 Fahamu chakula unachopaswa kula ukiwa na zaidi ya miaka 40 Ni muhimu kwa mtu mwenye umri wa zaidi ya miaka 40 kuwa muangalifu na afya yake kwa sababu kadri mtu anavyozeeka anaweza kupungua uzito pia. Hivyo inakuwa rahisi kupata magonjwa. Mtu mwenye umri mkubwa anahitaji lishe bora ambayo itamfanya kuwa na afya na nguvu Kutokuwa makini katika lishe ukiwa na miaka hiyo , ni hatari kwa afya wakati ambao utapata magonjwa kama kisukari, presha na matatizo ya miguu kunaweza kuathiri mtu. Vyakula ambavyo mtu mwenye umri wa miaka 40 anapaswa  ni pamoja na: Samaki Mboga za majani na mizizi kama moringa, Matunda Kula uyoga badala ya nyama Vyakula vya protini kama maharage ya soya badala ya mayai Ni muhimu kufanya vipimo vya damu ili kusaidia kupunguza hatari za maambukizi, kwa mujibu wa daktari. Kupunguza kula vyakula vinavyohifadhiwa kwenye makopo 06844500760 Kupunguza matumizi ya limao ni hatari kwa afya Kupunguza kiwango cha chumvi katika chakula Kupunguza kula nyama, karanga na sia...

FAIDA ZA KULA PILIPILI HOHO KIAFYA

Image
 #AFYA: Miongoni mwa Virutubisho vinavyopatikana katika Pilipili Hoho ni Protini, Mafuta, Wanga na Nyuzinyuzi Pia, ni chanzo cha Vitamin C hasa Hoho Nyekundu, ambayo ina nguvu sana katika kutengeneza Seli Nyekundu za Damu, Mifupa na Meno Hoho inaweza kuliwa mbichi kama kachumbari au ikapikwa kama kiungo cha Chakula 06844 500 76

FAIDA ZA KULA VIAZI VITAMU KIAFYA

Image
 JIKINGE NA SARATANI PAMOJA NA KUIMARISHA AFYA YA UTUMBO KWA KULA VIAZI VITAMU Lishe bora ya viazi vitamu ni chanzo kikuu cha 'fiber' , 06844 500 76

FAIDA ZA KULA PAPAI KIAFYA

Image
 AFYA: Je, wafahamu faida za tunda la papai?  Hupunguza kuganda kwa damu, hupunguza hatari ya kupata kansa ya kibofu na juisi yake hujenga kinga ya mwili na kuzuia magonjwa ya moyo. Pia mbegu za papai hutibu homa ya matumbo (Typhoid) 0684450076

FAIDA NA UMUHIMU WA KULA TANGO KIAFYA

Image
 Umuhimu wa kula Tango!  1. Inasafisha harufu ya mdomo kwa kula mara kwa mara. 2. Inachangia kutibu baadhi ya magonjwa; mf. Kisukari, ugonjwa wa ngozi, n.k. 3. Inaongeza vitamini nyingi (A, B, C) mwilini. 4. Inaimarisha viungu vya mwili; mf. goti.  5. Inaongeza kiasi cha maji mwilini na kuimarisha kinga ya mwili. 0684450076

FAIDA ZA KUTUMIA ILIKI KIAFYA

Image
 FAIDA ZA KUTUMIA ILIKI KIAFYA > Huipa Figo uwezo wa kuondoa takamwili na kusaidia kuweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni > Iliki inasaidia kuondoa hali ya kiungulia/gesi na tatizo la kukosa choo. Saga kisha tumia unga wake kijiko 1 cha chakula ktk maji moto kwa wiki 2 > Kwa kinywa kinachotoa harufu au vidonda tumia unga uliochanganywa na maji ya uvuguvugu kisha sukutua kila siku kwa wiki 3 06844 500 76

SABABU ZA WANAWAKE KUGUA MATATIZO YA MIFUPA NA VIUNGO NA TIBA

Image
 KWANINI WANAWAKE WENGI KUANZIA MIAKA 35 HUSUMBUKA NA CHANGAMOTO ZA MIFUPA? Mwanamke anapoteza saana madini, vitamini na virutubisho kwaajili ya afya ya #mifupa kupitia vipindi hivi hapa👇 1 mwanamke anavunja ungo Damu zilizo beba vitamini, madini na virutubisho vinapotea katika kipindi hichi. 2 mzunguko wa hedhi Mwanamke baada tu ya kuvunja ungo, anaingia katika mzunguko wa hedhi ambapo huwa kila mwezi anatoa damu, inayobeba rishe ya mifupa( madini, na vitamini)  Na kufanya hii lishe inapotea kwa kiwango kikubwa na kila mwezi 3 mwanamke analea mimba Hapa mwanamke anapoteza na kukosa idadi kubwa na nyingi ya madini ya calcium, zink, magnesium, amino acid nk Kwani kiasi kikubwa cha hizi madini zinaenda mojakwamoja na kuchukuliwa na mtoto alieko tumboni kwaajili ya ukuaji na afya ya mtoto 4 kujifungua Hapa pia mwanamke anamwaga damu nyingi, na uteute ambao ni wamuhimu katika kuimalisha afya ya maungio na mifupa kwa ujumla Kwahiyo katika vipindi vyote hivi wanaweki wengi wanakuwa...

JINSI YA KONDOA SUMU MWILINI LINDA INI ,FIGO,MOYO,KONGOSHO BILA MADHARA

Image
 Moja kati ya vitu vinavyopelekea mwili kuchoka na kushambuliwa na magonjwa ni kuwa na sum nyingi mwilini hasa kwenye utumbo tunavyo ingiza na havitoki    Je unazijuwa dalili ? Zingatia sana afya pesa hazijai rafiki yangu  UTAJUWAJE KUWA KIWANGO CHA  SUMU KWENYE MWILI WAKO KIMEONGEZEKA?. Kimsingi ni Kwamba tunaingiza Sumu nyingi saana Mwilini siku hizi kutokana na Mfumo Wa maisha tunaoishi. Hewa tuvayovuta Kuna Uchafuzi Mkubwa, Vyakula tunavyokula lakini pia Madawa ya Kisasa yana Kiwango cha Kemikali Fulani. Zifuatazo ni Dalili hizi dalili 12 zinazohashiria mwili WAKO kuwa na sumu nyingi.... 1.Uzito uliozidi na Hautoki /Haupungui  kirahisi Kwa kufanya Diet au Mazoezi (Ukipungua Unarudi tena Haraka) 2.Kuchoka Ovyo Kusikoelezeka. 3.Kukosa Usingizi (Kuwa na Stress hasa Usiku) 4.Kushuka Uwezo Wa Kufikiri (Fuzzy Thinking) 5.Maumivu Ya Kichwa Mara Kwa Mara hasa Cha uso au Cha upande. 6. Kuwa na Mood mbaya Mara Kwa Mara (Kukasirika Haraka) 7. Mwili kutoa Harufu mb...

TIBA NA KINGA YA PRESHA NA MAGONJWA YA MOYO

Image
 FAIDA ZA RELIVIN TEA Ni majani ya chai yenye green tea, Luobuma tea  INAHUSIKA √ Kuondoa Stress na kushusha presha ya damu √ kuondoa uchovu na kusawazisha mapigo ya moyo √ Kuchochea mishipa ya damu kupitisha damu vizuri √ Inaondoa vikwazo vya damu kuzunguka UBORA WA BF SUMA RELIVIN TEA? • Imetengenezwa kwa vitu asilia, Luobuma tea yenye ubora wa hari ya juu • tekinolojia iliyotumika kuchanganya green tea, inasaidia kuchelewesha uzee. 06844 500 76

TIBA NA KINGA YA U.T.I ,FANGASI NA HARUFU MBAYA UKENI

Image
 WOMEN CLEANSE R KIPENZI CHA WANAWAKE Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika Unasafishia ukeni usiku mara Moja   KAZI ZAKE 👉Hutibu UTI sugu 👉Hutibu Fangasi sugu 👉Inaondoa Miwasho ukeni 👉Inaondoa Harufu mbaya ukeni 👉inaondoa Uchafu unatoka ukeni 👉inasafisha na kuzibua milija ya uzazi 👉inakurinda usipate UTI na Fangasi 👉inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote 👉inaongeza joto la uke 👉inabana Kuta za uke zilizo legea 👉inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi 👉inarudisha ute ute ukeni 👉inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza 👉Hurekebisha MFUMO wa mzunguko ulio vulugika kuwa sawa  Kwa maelekezo zaidi namna ya Kuipata ni rahisi Sana na hii TUNASEMA ni bidhaa ya matumizi ya nyumbani Kama sabuni au dawa ya mswaki🥰✋🏼.........  HII NI KWA AJILI YAKO NA MWENZAKO  wa.me/+255684450076