FAIDA ZA KULA PILIPILI HOHO KIAFYA

 #AFYA: Miongoni mwa Virutubisho vinavyopatikana katika Pilipili Hoho ni Protini, Mafuta, Wanga na Nyuzinyuzi


Pia, ni chanzo cha Vitamin C hasa Hoho Nyekundu, ambayo ina nguvu sana katika kutengeneza Seli Nyekundu za Damu, Mifupa na Meno


Hoho inaweza kuliwa mbichi kama kachumbari au ikapikwa kama kiungo cha Chakula


06844 500 76


Comments

Popular posts from this blog

Nguvu za Kiume na Tiba

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

Faida Za mboga za Majani