Posts

Showing posts with the label na

SABABU ZA SHINGO KUKAZA NA KUUMA

Image
 LEO tutaangazia maumivu ya shingo tatizo ambalo watu wengi nchini limewahi kuwapata katika maisha yao ya kila siku.   Tatizo hilo huwa na maumivu ya wastani mpaka makali yasiyovumilika.  Ukiizungumzia shingo kisayansi ni kwamba kwa ujumla imeundwa na pingili za vifupa vidogo vilivyoanzia katika fuvu la kichwa. Katika ya vifupa hivyo huwa na pingili kama santuri plastiki kitaalamu huitwa cervical disc ambazo hukaa kati ya pingili moja na nyingine kazi yake ni kunyonya shinikizo la uzito na kuzuia msagiko.  Vifupa, nyuzi ngumu za ligamenti na misuli ya shingo kazi yake ni kutoa msaada kwa kichwa na kuwezesha miendo mbalimbali ikiwamo pembeni na kujizungusha. Hivyo basi hitilafu yoyote, shambulizi au majeraha yakitokea ya aina yoyote yakitokea yanaweza kusababisha maumivu makali ya shingo. Chanzo kikubwa cha kujitokeza kwa tatizo hili ni kujeruhiwa kwa misuli ya shingo pale unapokuwa umelala vibaya kama vile wakati wakulala usiku, wakati wa kucheza au mazoezi, kut...

Xpower Capsules kutatua Nguvu Za Kiume

Image
 *Hii inaitwa xpower man plus capsules... ni bidhaa adimu kutoka los angels,marekani imetengenezwa kwa viambata vinne vifuatavyo...*  *macca roots-kazi yake ni kuongeza kiwango cha homoni ya kiume(testosterone),huongeza hamu ya tendo* 👇 ,*huongeza ubora na wingi wa mbegu za kiume*  *epimedium-kwa jina lingine huitwa horny goat weed hufungua mishipa ya damu katika uume na sehemu nyingine za mwili hivyo kuruhusu damu kusambaa vizuri na kusaidia kusimamisha kwa muda mrefu* *tongkat ali-huu ni mmea ambao mizizi yake imethibitishwa kuimarisha misuli ya uume na kuufanya kuwa mgumu kama msumari ukisimama hivyo kuongeza ukubwa wa uume* *black ginger-hii ni tangawizi nyeusi,utafiti umeonesha inasaidia kuupa mwili nguvu ya hivyo husaidia kudumu kwenye tendo kwa muda mrefu bila kuchoka,pia inasaidia kuweza kurudia tendo zaidi ya mara tatu* Call 0684450076  *vyote hivyo unavipata ndani ya kidonge cha xpower man capsules plus chupa moja ni dose ya siku 15,yaani nusu mwezi mzima...

FAHAMU UGONJWA WA P.I.D NA VYAKULA TIBA

Image
 UJUE UGONJWA WA P.I.D NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE   PID( Pelvic Inflammatory Disease )  Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS)   Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na CHLAMYDIA TRACHOMATIC WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D   1.Kupitia ngono zembe 2.Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja 3.Kufanya mapenzi bila kutumia kinga 4.Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono 5.Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara 6.Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba 7.Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako 8.Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano) 9.Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu DALILI ZA UGONJWA WA  P.I.D 1.Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa ...

TEZI DUME KUVIMBA NA TIBA

Image
Watsapp   TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI KWA KUTUMIA SUPPLEMENT MAALUMU KWAAJILI YA SARATANI YA TEZI DUME ● FAIDA ZA VIDONGE VYA  PROSTATRELAX                             ○ Inalinda tezi na  kuzui kuongezeka kwa tezi dume ○ Inadumisha Afya ya Mkojo ○ Inaboresha ufanisi wa tendo la ndoa ○ Inaondoa maumivu ya kiuno na wakati wa kukojoa  ○ Husaidia kufika kileleni vizuri bila maumivu. ● VIUNGO ○ Prostaep-I (USA Patent) ● NANI ANATUMI ○ Wanaume wenye shida ya tezi dume haswa wenye umri zaidi ya miaka 40. ○ Wanaume wenye shida ya kukojoa vizuri ○ Wenye shida za nguvu ya kiume. °> Na Wanaume Wenye Shida Ya Mbegu. ( Sperm ). ● MATUMIZI ○ Vidonge 2 mala 3 kwa siku. ○ Ukitumia kwa muda mrefu ( miezi 3 ) bila kuacha zinamatokeo mazuri zaidi - Ikiwemo Kuponya Tezi Dume Iliyovimba Bila Kufanya Upasuaji. *PROSTATE RELAX Furaha Ya Mwanaume. Whatsapp/    Share kwenye Magroup Ndugu jamaa na MARAFIKI ...