SABABU ZA WANAWAKE KUGUA MATATIZO YA MIFUPA NA VIUNGO NA TIBA
KWANINI WANAWAKE WENGI KUANZIA MIAKA 35 HUSUMBUKA NA CHANGAMOTO ZA MIFUPA?
Mwanamke anapoteza saana madini, vitamini na virutubisho kwaajili ya afya ya #mifupa kupitia vipindi hivi hapa👇
1 mwanamke anavunja ungo
Damu zilizo beba vitamini, madini na virutubisho vinapotea katika kipindi hichi.
2 mzunguko wa hedhi
Mwanamke baada tu ya kuvunja ungo, anaingia katika mzunguko wa hedhi ambapo huwa kila mwezi anatoa damu, inayobeba rishe ya mifupa( madini, na vitamini)
Na kufanya hii lishe inapotea kwa kiwango kikubwa na kila mwezi
3 mwanamke analea mimba
Hapa mwanamke anapoteza na kukosa idadi kubwa na nyingi ya madini ya calcium, zink, magnesium, amino acid nk
Kwani kiasi kikubwa cha hizi madini zinaenda mojakwamoja na kuchukuliwa na mtoto alieko tumboni kwaajili ya ukuaji na afya ya mtoto
4 kujifungua
Hapa pia mwanamke anamwaga damu nyingi, na uteute ambao ni wamuhimu katika kuimalisha afya ya maungio na mifupa kwa ujumla
Kwahiyo katika vipindi vyote hivi wanaweki wengi wanakuwa wanasumbuka na matatizo ya mifupa, kwa sababu ya upungufu na ukosefu wa 👇
Madini ya kuimalisha mifupa
Vitamin na Uteute kwaajili ya maungio(glucosamine hydrochloride) na chondrotine
Kwahiyo sasa katika matibabu wengi tunahangaikia changamoto kwa kuhudhuria clinics za mifupa bila kujua kiini na chanzo cha cha changamoto
Na huwezi kupona changamoto yako kama hujajua kiini
TUWASILIANE NIKUSAIDIE
AHSANTE 🙏
Mshauri na mtoa elimu ya tiba lishe kutoka BF SUMA☎️📞+255684450076
Comments
Post a Comment