FANYA HAYA KUONDOA MIWASHO UKENI BILA DAWA

 Katika hali ya kawaida mwanamke anaweza kuhisi muwasho ukeni mara moja moja.



Hali hiyo ikiwa ya muda mrefu au ya kujirudiarudia inaweza kua imesababishwa na fangasi ukeni,allergy ukeni,Maamukizi ya bakiteria nk


Kama nilivyoeleza katika post zilizopita kua ukeni kuna bakiteria wazuri na bakiteria wabaya ..

wale wazuri hua ni wengi kuliko wabaya ..


Inapotokea bakiteria wazuri wakapungua hupelekea bakiteria wabaya kuongezeka pamoja na fangasi.


Sababu za muwasho zinaweza kua:-

-kuosha uke kwa sabuni kali(medicated soap)

-Kuvaa nguo za kubana kama tight,au chupi zinazobana.

-Kutobadilisha ped mara kwa mara unapokua period

-Unapofika ukomo wa hedhi kiwango cha homoni ya oestrogen hupungua na kusababisha uke kusinyaa na kua na miwasho.

-Hali hii pia inaweza kutokea kama una stress mara kwa mara nk


Matibabu yake hutegemea na chanzo cha tatizo


-Na sio kila muwasho ni fangasiā€¦

-Muwasho mwingine unasababishwa na aleji


Matibabu kama muwasho ni wa fangasi huwa ni dawa za kupaka za fangasi za kupachika ukeni , au vidonge vya kumeza.

-kama ulisha tumia na huja pona ama una tatizo hilo tuwasiliane


Umejifunza kitu, post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae, 


Kwa msaada wa haraka wa changamoto zote za Afya ya Uzazi kwa Mwanamke, Mwanaume


NITUMIE UJUMBE WHATSAPP 


06 844 500 76

Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE