FAIDA ZA KUTUMIA ILIKI KIAFYA

 FAIDA ZA KUTUMIA ILIKI KIAFYA


> Huipa Figo uwezo wa kuondoa takamwili na kusaidia kuweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni


> Iliki inasaidia kuondoa hali ya kiungulia/gesi na tatizo la kukosa choo. Saga kisha tumia unga wake kijiko 1 cha chakula ktk maji moto kwa wiki 2


> Kwa kinywa kinachotoa harufu au vidonda tumia unga uliochanganywa na maji ya uvuguvugu kisha sukutua kila siku kwa wiki 3


06844 500 76


Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE