FAIDA NA UMUHIMU WA KULA TANGO KIAFYA
Umuhimu wa kula Tango!
1. Inasafisha harufu ya mdomo kwa kula mara kwa mara.
2. Inachangia kutibu baadhi ya magonjwa; mf. Kisukari, ugonjwa wa ngozi, n.k.
3. Inaongeza vitamini nyingi (A, B, C) mwilini.
4. Inaimarisha viungu vya mwili; mf. goti.
5. Inaongeza kiasi cha maji mwilini na kuimarisha kinga ya mwili.
0684450076
Comments
Post a Comment