FAIDA NA UMUHIMU WA KULA TANGO KIAFYA

 Umuhimu wa kula Tango! 


1. Inasafisha harufu ya mdomo kwa kula mara kwa mara.

2. Inachangia kutibu baadhi ya magonjwa; mf. Kisukari, ugonjwa wa ngozi, n.k.

3. Inaongeza vitamini nyingi (A, B, C) mwilini.

4. Inaimarisha viungu vya mwili; mf. goti. 

5. Inaongeza kiasi cha maji mwilini na kuimarisha kinga ya mwili.


0684450076


Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE