VYAKULA UNAPASWA KULA UKIWA NA MIAKA ZAIDI YA 40

 Fahamu chakula unachopaswa kula ukiwa na zaidi ya miaka 40


Ni muhimu kwa mtu mwenye umri wa zaidi ya miaka 40 kuwa muangalifu na afya yake kwa sababu kadri mtu anavyozeeka anaweza kupungua uzito pia.


Hivyo inakuwa rahisi kupata magonjwa.


Mtu mwenye umri mkubwa anahitaji lishe bora ambayo itamfanya kuwa na afya na nguvu


Kutokuwa makini katika lishe ukiwa na miaka hiyo , ni hatari kwa afya wakati ambao utapata magonjwa kama kisukari, presha na matatizo ya miguu kunaweza kuathiri mtu.



Vyakula ambavyo mtu mwenye umri wa miaka 40 anapaswa  ni pamoja na:


Samaki


Mboga za majani na mizizi kama moringa,


Matunda


Kula uyoga badala ya nyama


Vyakula vya protini kama maharage ya soya badala ya mayai


Ni muhimu kufanya vipimo vya damu ili kusaidia kupunguza hatari za maambukizi, kwa mujibu wa daktari.


Kupunguza kula vyakula vinavyohifadhiwa kwenye makopo


06844500760



Kupunguza matumizi ya limao ni hatari kwa afya


Kupunguza kiwango cha chumvi katika chakula


Kupunguza kula nyama, karanga na siagi


ushauri zaidi nipigie simu 0684450076

Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE