ONDOA KINYAMA ,UVIMBE ENEO LA HAJA KUBWA NA MAUMIVU BILA MADHARA

 TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE BILA UPASUAJII


BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE


➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa


       *CHANZO CHA BAWASIRI*


➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva


➖ Tatizo sugu la kuharisha


➖ Ujauzito


➖ Uzito wa mwili kupita kiasi


➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa  (kulawitiwa)


➖ Kupata haja kubwa ngumu


➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni


➖ Kunywa pombe


➖ Kula sana nyama nyekundu


➖ Vidonda vya tumbo


➖ Ngiri(Chango/Hernia


➖ Kula sana pilipili


➖ Kunyanyua vitu vizito


           *DALILI ZA BAWASIRI*


➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa


➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa


➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa


➖ Kupata kinyesi chenye damu


➖ Kupata maumivu makali wakati wa

 kujisaidia haja kubwa


➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa 


➖ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa


➖ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa kama kidonda


➖ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukakamavu) 

        

      *MADHARA YA BAWASIRI*



➖ Upungufu wa damu mwilini


➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua


➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa


➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)


➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu


➖ Kupata tatizo la kisaikolojia


➖ Kutopata ujauzito


➖ Mimba kuharibika


Wasiliana nasi tuna toa bidhaa zenye uwezo wa kumaliza bawasili bila Upasuajii

0684450076


#dalilizabawasili #ugonjwawabawsili #tibayabawasili #bawasili #madharayabawasili

Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE