Vidonda vya tumbo ! Siku zote ukiwa mjinga wewe ndio utakaofanya wajanja kula wapo watu wengi wamekuwa wakinywa dawa za hospital kila siku wakiamini kuwa wanaweza kupona vidonda vya tumbo. Siku ukija kupona vidonda vya tumbo kwa dawa za hospital wenda akili yangu haipo Ok Siri ya dawa hizo ni kumdaganya mteja anayekuja kununua dawa za vidonda vya tumbo kwa kumpa dawa ambazo kazi yake ni kupunguza gas na acidic tumboni na tena unaweza pewa dawa za mwezi mzima ukawa ukizitumia unaona upo safi kabisa tena mzima wa Afya ila baada ya dozi kuisha tatizo kitatulia kidogo kisha linakuja tena. Kile msichokijua ni hivi unapokuwa umezimeza dawa za hospital za kutuliza maumivu ya vidonda vya tumbo kwanza tambua tatizo ndio kwanza litakuja kuongezeka zaidi ya hapo. Kuna watu wao wakisikia tumbo linauma ndio kwanza wanakimbilia dawa za kutuliza maumivu ya tumbo Hawa ndio wapo KWENYE tatizo kubwa zaidi maana ndio wanaharibu mfumo mzima wa uzalishaji wa hyd acid kwenye tumbo na mbaya zaidi ...
FAHAMU KUHUSU NMN (KIRUTUBISHO LISHE) Kutibu Kisukari, Pressure, Tezi dume na ni ANT_AGING. Kuhusu NMN(Nicotinamide MonoNucleotide. Kumbuka yafuatayo ukitumia NMN mwili unaibadilisha kuwa NAD+ (Nicotinamide Adenine Dinuclotide ) chanya.(Aina Fulani ya kimengenywa saidizi yaani coenzyme.) Hii NAD+ ndio inayofanya ukarabati wa mfumo wa DNA( vinasaba). Na matokeo yanakuwa Kama ifuatavyo ifuatavyo; 1 NAD+Inarekebisha na kuimarisha seli za mifumo ya fahamu hasa ubongo. 2 Inaimarisha utoaji na ufanyaji kazi wa insulin(hivyo kuthibiti magonjwa ya sukari ) na kuvunja vunja kiwango cha sukari mwilini 3 Inazuia magonjwa mengine yanayotokana na umri Kama cancer, magonjwa ya moyo n.k 4 Inarekebisha seli za ngozi hivyo kupunguza uchakavu na kuchoka wa ngozi (MAKUNYANZI) na kuweka mwonekano wa ujana. 5 Inaruhusu virutubishi kwenye mwili kuchakatwa kwa ubora wa Hali ya juu. Ni muhimu kumbuka kwamba mwili unatengeneza NAD+ Lakini inaendelea kupunguza jinsi umri unavyo sogea. Not...
FAHAMU:NAMNA YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI Watu wanakula mboga za majani kwa lengo la kupata kiburudisho na wengine ili siku iende tuu. Wengi wanakosea kupika mboga za majani ili kupata virutubisho kama vitamins na madini chuma Zingatia haya ukiwa unapika mboga 1.Osha mboga za majani kwa maji safi kabla ya kuzikatakata. Kamwe usioshe baada ya kuzikatakata 2. Pika kwa muda mchache. Virutubisho vyake ni heat labile; ukichemsha sana vinaharibika. 3. Pika ukiwa umefunika kwa mfuniko. Kuacha wazi kutapoteza virutubisho 4. Usipike chukuchuku (bila mafuta); virutubisho vinavyopatikana kwenye mbogamboga vinahitaji kiasi cha mafuta ili kimeng'enywe na kuingia kwenye mfumo wa damu wa mlaji. Hivyo, ukila bila kuweka mafuta, unapoteza virutubisho vingi. Weka mafuta salama kwa mlaji hata kijiko kimoja tu. Gusa hapa chati nami Watsapp FAIDA ZA KULA MBOGA ZA MAJANI 1. Kupata virutubisho muhimu kama vitamins ili kusaidia kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili na mfumo wa fa...
Comments
Post a Comment