:Mboga za Majani huwa na Nyuzinyuzi zinazosaidia kuboresha Mfumo wa Chakula na kutoa Kinga dhidi ya #Saratani ya Utumbo Mkubwa Pia, huwa na Madini ya Potassium ambayo husaidia kudhibiti Shinikizo Kubwa la Damu na Magonjwa ya Moyo Soma zaidi nakala za hivi Hakuna aina moja ya mboga za majani inayotosha kukupatia virutubisho vyote muhimu ili uweze kuimarisha afya yako. Ni muhimu kutokutumia aina moja ya mboga kila siku kwa kuwa haiwezi kukupatia virutubisho vyote unavyohitaji, bali jitahidi kuchanganya au kubadili mara kwa mara ili uweze kunufaika vizuri. Mboga za majani huwa na faida zifuatazo kwa afya- Huwa na nyuzinyuzi zinazosaidia kuboresha mfumo wa chakula, kurahisisha choo na kutoa kinga dhidi ya saratani ya utumbo mkubwa Aina nyingi za mboga za majani huwa na madini ya potassium ambayo husaidia kudhibiti shinikizo kubwa la damu na magonjwa ya moyo Huwa na kipimo kidogo cha sukari (Low Glycemic Index) hivyo hufaa sana kwa watu wenye tatizo la ugonjwa wa kisukari Kama ilivyo k...
FAHAMU KUHUSU NMN (KIRUTUBISHO LISHE) Kutibu Kisukari, Pressure, Tezi dume na ni ANT_AGING. Kuhusu NMN(Nicotinamide MonoNucleotide. Kumbuka yafuatayo ukitumia NMN mwili unaibadilisha kuwa NAD+ (Nicotinamide Adenine Dinuclotide ) chanya.(Aina Fulani ya kimengenywa saidizi yaani coenzyme.) Hii NAD+ ndio inayofanya ukarabati wa mfumo wa DNA( vinasaba). Na matokeo yanakuwa Kama ifuatavyo ifuatavyo; 1 NAD+Inarekebisha na kuimarisha seli za mifumo ya fahamu hasa ubongo. 2 Inaimarisha utoaji na ufanyaji kazi wa insulin(hivyo kuthibiti magonjwa ya sukari ) na kuvunja vunja kiwango cha sukari mwilini 3 Inazuia magonjwa mengine yanayotokana na umri Kama cancer, magonjwa ya moyo n.k 4 Inarekebisha seli za ngozi hivyo kupunguza uchakavu na kuchoka wa ngozi (MAKUNYANZI) na kuweka mwonekano wa ujana. 5 Inaruhusu virutubishi kwenye mwili kuchakatwa kwa ubora wa Hali ya juu. Ni muhimu kumbuka kwamba mwili unatengeneza NAD+ Lakini inaendelea kupunguza jinsi umri unavyo sogea. Not...
Comments
Post a Comment