FAHAMU KWANINI PUA ZA WAJAWAZITO HUWA KUBWA KIPINDI CHA UJAUZITO
๐๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ป๐ถ ๐ฃ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ธ๐ถ๐ท๐ฎ๐ฐ๐ต๐ผ ๐ต๐๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ ???
Mabadiliko mengi hutokea wakati wa ujauzito, na โPua ya Ujauzitoโ ni mojawapo..! Dalili hii isiyozungumziwa sana, inayotrendi kwenye mitandao ya kijamii, inafunua mabadiliko ya kushangaza ambayo wanawake hupitia, katika harakati za kuleta uhai mpya duniani. ๐คฐโจ
Je, wajua? Mwili wako huzalisha damu na maji maji ya ziada kwa asilimia 50 wakati wa ujauzito, hali inayosababisha kuvimba sehemu kadhaa za mwili ikiwemo pua! Hii inaweza kuanza katika trimesta ya pili na kuwa kali zaidi katika ya tatu. Ni sehemu ya maandalizi ya mwili wako kwa ajili ya kujifungua mtoto wako. ๐
Ingawa kuna machache unayoweza kufanya kudhibiti hili, kumbuka, ni mabadiliko ya kawaida na ya muda.
Kumbatia kipindi hiki kwa upendo, furaha na ucheshi โ ni sehemu moja tu ya safari ya ajabu ya umama! โค๏ธ๐ถ #SafariYaUmama
0684 450 076
Comments
Post a Comment