FAHAMU KWANINI PUA ZA WAJAWAZITO HUWA KUBWA KIPINDI CHA UJAUZITO

 ๐—ž๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฃ๐˜‚๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ ๐—ต๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ???


Mabadiliko mengi hutokea wakati wa ujauzito, na โ€˜Pua ya Ujauzitoโ€™ ni mojawapo..! Dalili hii isiyozungumziwa sana, inayotrendi kwenye mitandao ya kijamii, inafunua mabadiliko ya kushangaza ambayo wanawake hupitia, katika harakati za kuleta uhai mpya duniani. ๐Ÿคฐโœจ


Je, wajua? Mwili wako huzalisha damu na maji maji ya ziada kwa asilimia 50 wakati wa ujauzito, hali inayosababisha kuvimba sehemu kadhaa za mwili ikiwemo pua! Hii inaweza kuanza katika trimesta ya pili na kuwa kali zaidi katika ya tatu. Ni sehemu ya maandalizi ya mwili wako kwa ajili ya kujifungua mtoto wako. ๐ŸŒŸ


Ingawa kuna machache unayoweza kufanya kudhibiti hili, kumbuka, ni mabadiliko ya kawaida na ya muda.


Kumbatia kipindi hiki kwa upendo, furaha na ucheshi โ€“ ni sehemu moja tu ya safari ya ajabu ya umama! โค๏ธ๐Ÿ‘ถ #SafariYaUmama 

0684 450 076 


Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE