VYAKULA UNAPASWA KULA KIPINDI CHA BARIDI

 Machungwa yana kiwango kikubwa cha #Vitamini C ambayo husaidia kuongeza kinga ya Mwili dhidi ya Magonjwa na hupunguza hatari ya kupata Homa ya Baridi


Ndizi Mbivu ni chanzo kizuri cha Nishati kwasababu zina kiwango kikubwa cha Wanga, huku Tufaa (#Apple) husaidia katika utaratibu wa mmeng'enyo wa Chakula na kuhifadhi Nishati 


Aidha, Parachichi husaidia kudumisha Afya ya Ngozi na kutoa Nishati ya muda mrefu huku ulaji wa Papai ukiboresha Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula na kusaidia katika kudumisha Afya ya Ngozi 

0684450076

umekula Tunda gani leo kati ya haya?

Watsapp


Comments

Popular posts from this blog

Nguvu za Kiume na Tiba

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

Faida Za mboga za Majani