Njia za Kutibu Kutokwa na Damu Kwenye Fizi

 AFYA: FANYA YAFUATAYO KUJITIBU KUTOKWA NA DAMU KWENYE FIZI


> Ugonjwa wa ufizi huathiri ufizi na huweza kusambaa kwenye mifupa inayoshikilia meno. Hii ni mojawapo ya sababu ambazo hufanya watu kupoteza meno. Ni vema kutibiwa kabla ya kusababisha madhara makubwa


> Tumia mswaki laini, badili mswaki kila baada ya miezi mitatu, usichokonoe meno mara kwa mara na epuka uvutaji wa Sigara na Tumbaku 


> Kula mboga za Majani, Matunda na vyakula vyenye Vitamini C na K kwa wingi na ikiwezekana onana na Daktari  kwa ajili ya matibabu zaidi


Ushauri zaidi na matibabu Tupigie


0684450076


Watsapp

Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE