FAIDA ZA KUTUMIA KARAFUU KIAFYA

 MATUMIZI YA KARAFUU KATIKA TIBA


Tafiti zinasema karafuu ni miongoni mwa viungo muhimu vyenye faida nyingi kiafya kama , husaidia usagaji mzuri wa chakula, tumbo kujaa gesi, inaimarisha afya ya mifupa pia huleta hamu ya kula chakula. Pamoja na faida zote hizo karafuu ina faida kwenye afya ya uzazi wa mwanamke na mwanaume pia.


1️⃣Karafuu ni nzuri kwa mwanamke mwenye changamoto ya kuziba kwa mirija 

2️⃣Karafuu ina sifa ya kurudisha hedhi ( period) iliyokata muda mrefu

3️⃣Karafuu ina sifa ya kuzuia na kuyeyusha  uvimbe wowote kwenye kizazi ( ovarian cyst & fibroids)

4️⃣karafuu inasaidia zoezi la kupevusha mayai hivyo hurahisisha zoezi la kubeba ujauzito

5️⃣Karafuu ina sifa ya kuzuia na kutibu kansa ya kizazi ( cervical cancer)


MATUMIZI


Tumia juisi ya karafuu.

Chukua karafuu vijiko vitatu kisha loweka kwenye maji lita moja jioni. Kesho asubuhi chuja yote makapi tupa.


Kunywa juisi hii asubuhi glass moja na jioni glass moja kwa siku 30 mfululizo.


Ahsante 🙏🙏


karibu katika groups la Thamani ya Afya Accademy  tujifunze bure kabisa


Gusa links kama bado hauja jiunga kwenye  groups


Watsapp

Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE