FAIDA ZA KULA PALACHICHI KIAFYA

 Faida za kula palachichi


💧palachichi lina virutubisho kama wanga, vitamini C, E, K na B^. pia lina madini ya managesium na potassium.

💧Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo

💧Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa (kuwa dhaifu na kufunjika kwa urahisi)

💧Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani

💧Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao

💧Hupunguza misongo ya mawazo

💧Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa

💧Husaidia kuondoa sumu za vyakula na akemikali mwilini

💧Husaidia kuzuia maambukizi ya mara kwa mara ya virusi, bakteria na fangasi

💧Husaidia kuzuia kupata maradhi ya kisukari

Ushauri zaidi na tiba tupigie

0684450076


Watsapp

Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU SIRI ZA DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO

NMN KUTIBU SUKARI,PRESHA,TEZI DUME NA NI ANT_AGING

JINSI YA KUPIKA MBOGA ZA MAJANI KUPATA VIRUTUBISHI VYAKE NA FAIDA ZAKE